Yoeli 3:21 - Swahili Revised Union Version21 Nami nitaitakasa damu yao ambayo sijaitakasa; kwa maana BWANA ndiye akaaye Sayuni. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema21 Nitawaadhibu waliomwaga damu ya watu wa Yuda wala sitawaachia wenye hatia. Mimi, Mwenyezi-Mungu nakaa Siyoni.” Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND21 Nitawaadhibu waliomwaga damu ya watu wa Yuda wala sitawaachia wenye hatia. Mimi, Mwenyezi-Mungu nakaa Siyoni.” Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza21 Nitawaadhibu waliomwaga damu ya watu wa Yuda wala sitawaachia wenye hatia. Mimi, Mwenyezi-Mungu nakaa Siyoni.” Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu21 Hatia yao ya damu, ambayo sijasamehe, nitasamehe.” Mwenyezi Mungu anakaa Sayuni! Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu21 Hatia yao ya damu, ambayo sijasamehe, nitasamehe.” bwana anakaa Sayuni! Tazama suraBIBLIA KISWAHILI21 Nami nitaitakasa damu yao ambayo sijaitakasa; kwa maana BWANA ndiye akaaye Sayuni. Tazama sura |