Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Yobu 9:3 - Swahili Revised Union Version

3 Kama akipenda kushindana naye, Hawezi kumjibu neno moja katika elfu.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

3 Kama mtu angethubutu kushindana naye, hataweza kufika mbali; hata kujibu swali moja kati ya elfu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

3 Kama mtu angethubutu kushindana naye, hataweza kufika mbali; hata kujibu swali moja kati ya elfu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

3 Kama mtu angethubutu kushindana naye, hataweza kufika mbali; hata kujibu swali moja kati ya elfu.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

3 Ingawa mtu angetaka kushindana naye, hangeweza kumjibu Mungu hata mara moja miongoni mwa elfu moja.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

3 Ingawa mtu angetaka kushindana naye, asingaliweza kumjibu Mungu hata mara moja miongoni mwa elfu moja.

Tazama sura Nakili




Yobu 9:3
18 Marejeleo ya Msalaba  

Nitamwambia Mungu, Usinihukumie makosa; Nijulishe kwa nini unapingana nami.


Yuko nani atakayeshindana nami? Maana sasa nitanyamaza kimya na kukata roho.


Kwa nini unapingana naye, ukisema, Hatajibu hata neno langu moja?


Kwani yeye hana haja ya kumfikiria mtu zaidi, ili aende mbele za Mungu ahukumiwe.


Je! Mwenye hoja atashindana na Mwenyezi? Mwenye kujadiliana na Mungu, na ajibu yeye.


Nimenena mara moja, nami sitajibu; Naam, nimenena mara mbili, lakini sitaendelea zaidi.


Je! Mimi nitamjibuje, Na kuyachagua maneno yangu kuhojiana naye?


Ingawa mimi ni mwenye haki, kinywa changu mwenyewe kitanihukumu; Ingawa mimi ni mkamilifu, kitanishuhudia kuwa mimi ni mpotovu.


Ni nani awezaye kuyatambua makosa yake? Unitakase na mambo ya siri.


Kwa maana mabaya yasiyohesabika Yamenizunguka mimi. Maovu yangu yamenipata, Wala siwezi kuona. Yamezidi kuliko nywele za kichwa changu, Nami nimevunjika moyo.


La! Sivyo, Ee binadamu; wewe u nani umjibuye Mungu? Je! Kitu kilichoumbwa kimwambie yeye aliyekiumba, Kwa nini umeniumba hivi?


Tukisema kwamba hatuna dhambi, tunajidanganya wenyewe, wala kweli haimo ndani yetu.


ikiwa mioyo yetu inatuhukumu; kwa maana Mungu ni mkuu kuliko mioyo yetu naye anajua yote.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo