Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Yobu 7:6 - Swahili Revised Union Version

6 Siku zangu hupita upesi kuliko chombo cha kufumia, Nazo zapita pasipokuwa na matumaini.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

6 Siku zangu zapita kasi kuliko gurudumu la mshonaji, nazo zafikia mwisho wake bila matumaini.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

6 Siku zangu zapita kasi kuliko gurudumu la mshonaji, nazo zafikia mwisho wake bila matumaini.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

6 Siku zangu zapita kasi kuliko gurudumu la mshonaji, nazo zafikia mwisho wake bila matumaini.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

6 “Siku zangu zinapita upesi kuliko mtande wa kufuma, nazo zinafikia mwisho wake bila matumaini.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

6 “Siku zangu zinapita upesi kuliko mtande wa kufuma, nazo zinafikia mwisho wake bila matumaini.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

6 Siku zangu hupita upesi kuliko chombo cha kufumia, Nazo zapita pasipokuwa na matumaini.

Tazama sura Nakili




Yobu 7:6
23 Marejeleo ya Msalaba  

Tazama, ataniua; sina tumaini; Ila hata hivyo nitaithibitisha njia yangu mbele yake.


Maji mengi huyapunguza mawe; Mafuriko yake huuchukua mchanga wa nchi; Nawe matumaini ya wanadamu wayaangamiza.


Kwani ikiisha pita miaka michache, Nitakwenda njia hiyo ambayo sitarudi tena.


Roho yangu imezimia, siku zangu zimekoma, Kaburi i tayari kunipokea.


Siku zangu zimepita, makusudi yangu yamevunjika, Hata hayo niliyo nayo moyoni mwangu.


Basi, tumaini langu liko wapi? Na tumaini langu, ni nani atakayeliona?


Litashuka kwenye makomeo ya kuzimu, Itakapokuwapo raha mavumbini.


Amenibomoa pande zote, nami nimetoweka; Na tumaini langu ameling'oa kama mti.


Nguvu zangu ni zipi, hata ningoje? Na mwisho wangu ni nini, hata nisubiri?


Basi siku zangu zina mbio kuliko tarishi; Zakimbia, wala hazioni mema.


Siku zangu ni kama kivuli cha jioni, Nami ninanyauka kama majani.


Binadamu ni kama ubatili, Siku zake ni kama kivuli kipitacho.


Mtu mbaya husukumwa chini katika kutenda mabaya kwake; Bali mwenye haki ana matumaini katika kufa kwake.


Zuia mguu wako usikose kiatu, na koo yako isiwe na kiu; lakini wewe ulisema, Hakuna matumaini kabisa; la, maana nimewapenda wageni, nami nitawafuata.


kwamba zamani zile mlikuwa hamna Kristo, mmefarakana na jamii ya Israeli, wageni wasio wa maagano ya ahadi ile. Mlikuwa hamna tumaini, hamna Mungu duniani.


Maana jua huchomoza kwa joto kali, huyakausha majani; ua lake huanguka, uzuri wa umbo lake hupotea; vivyo hivyo naye tajiri atanyauka katika njia zake.


lakini hamjui yatakayokuwako kesho. Uzima wenu ni nini? Maana ninyi ni mvuke uonekanao kwa muda mfupi tu, kisha hutoweka.


Kwa hiyo iweni tayari, na makini; mkiitumainia kwa utimilifu ile neema mtakayoletewa katika ufunuo wake Yesu Kristo.


Maana, Mwili wote ni kama majani, Na fahari yake yote ni kama ua la majani. Majani hukauka na ua lake huanguka;


Tufuate:

Matangazo


Matangazo