Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Yobu 5:10 - Swahili Revised Union Version

10 Yeye atoaye mvua inyeshe juu ya nchi, Na kuyapeleka maji mashambani;

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

10 Huinyeshea nchi mvua, hupeleka maji mashambani.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

10 Huinyeshea nchi mvua, hupeleka maji mashambani.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

10 Huinyeshea nchi mvua, hupeleka maji mashambani.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

10 Yeye huipa nchi mvua, huyapeleka maji kunyesha mashamba.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

10 Yeye huipa nchi mvua, huyapeleka maji kunyesha mashamba.

Tazama sura Nakili




Yobu 5:10
13 Marejeleo ya Msalaba  

Hapo alipoiwekea mvua amri, Na njia kwa umeme wa radi.


Maana yeye huvuta juu matone ya maji, Yamwagikayo katika mvua kutoka ukungu wake;


Ambayo mawingu yainyesha Na kudondoza juu ya wanadamu kwa wingi.


Kwa kuwa huiambia theluji, Anguka juu ya nchi; Na pia kwa manyunyu ya mvua, Hayo manyunyu ya mvua yake nyingi.


Huzifunika mbingu kwa mawingu, Huitengenezea nchi mvua, Na kuichipusha nyasi milimani.


Ee Mungu, ulinyesha mvua ya neema; Urithi wako ulipochoka uliutia nguvu.


Atoapo sauti yake, pana mshindo wa maji mbinguni, Naye hupandisha mawingu toka ncha za nchi; Huifanyia mvua umeme, Huutoa upepo katika hazina zake.


Je! Katika vitu vya ubatili vya mataifa, kiko kitu kiwezacho kuleta mvua? Je! Mbingu zaweza kutoa manyunyu? Je! Si wewe, Ee BWANA, Mungu wetu? Kwa sababu hiyo tutakungoja; kwa kuwa wewe umevifanya vitu hivi vyote.


Wala hawasemi mioyoni mwao, Basi, na tumche BWANA, Mungu wetu, aletaye mvua, mvua ya mwaka, na mvua ya vuli, kwa wakati wake; na kutuwekea majuma ya mavuno yaliyoamriwa.


Tena nimeizuia mvua msiipate, ilipobaki miezi mitatu kabla ya mavuno; nami nimenyesha mvua juu ya mji mmoja, nikaizuia mvua isinyeshe juu ya mji mwingine; sehemu moja ilipata mvua, na sehemu isiyopata mvua ilikauka.


Lakini hakujiacha pasipo ushuhuda, kwa kuwa alitenda mema, akiwapeni mvua kutoka mbinguni, na nyakati za mavuno, akiwashibisha mioyo yenu chakula na furaha.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo