Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Yobu 41:2 - Swahili Revised Union Version

2 Je! Waweza kutia kamba puani mwake? Au kutoboa taya yake kwa kulabu?

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

2 Hakuna mtu yeyote mkali athubutuye kulishtua. Nani, basi awezaye kusimama mbele yangu?

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

2 Hakuna mtu yeyote mkali athubutuye kulishtua. Nani, basi awezaye kusimama mbele yangu?

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

2 Hakuna mtu yeyote mkali athubutuye kulishtua. Nani, basi awezaye kusimama mbele yangu?

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

2 Unaweza kupitisha kamba puani mwake, au kutoboa taya lake kwa kulabu?

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

2 Waweza kupitisha kamba puani mwake, au kutoboa taya lake kwa kulabu?

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

2 Je! Waweza kutia kamba puani mwake? Au kutoboa taya yake kwa kulabu?

Tazama sura Nakili




Yobu 41:2
7 Marejeleo ya Msalaba  

Kwa sababu ya kunighadhibikia kwako, na kwa sababu kutakabari kwako kumefika masikioni mwangu; kwa sababu hiyo nitatia kulabu yangu puani mwako, na hatamu yangu midomoni mwako, nami nitakurudisha nyuma kwa njia ile ile uliyoijia.


Je! Atakusihi sana? Au, atakuambia maneno ya upole?


Yeye ni mwenye hekima moyoni, na mwenye uwezo katika nguvu; Ni nani aliyejifanya kuwa mgumu juu yake, naye akafanikiwa?


Hapana hekima, wala ufahamu, Wala shauri, juu ya BWANA.


Katika siku hiyo BWANA, kwa upanga wake ulio mkali, ulio mkubwa, ulio na nguvu, atamwadhibu Lewiathani, nyoka yule mwepesi, na Lewiathani, nyoka yule mwenye kuzongazonga; naye atamwua yule joka aliye baharini.


Kwa sababu ya kunighadhibikia kwako, na kwa sababu kutakabari kwako kumefika masikioni mwangu, nitatia kulabu yangu katika pua yako, na hatamu yangu midomoni mwako, nami nitakurudisha kwa njia ile ile uliyoijia.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo