Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Yobu 41:1 - Swahili Revised Union Version

1 Je! Waweza wewe kumvua mamba kwa ndoana? Au, kuufunga ulimi wake kwa kamba?

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

1 “Yeyote anayeliona hilo dude, hufa moyo na kuzirai.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

1 “Yeyote anayeliona hilo dude, hufa moyo na kuzirai.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

1 “Yeyote anayeliona hilo dude, hufa moyo na kuzirai.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

1 “Je, unaweza kumvua Lewiathani kwa ndoana ya samaki, au kufunga ulimi wake kwa kamba?

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

1 “Je, waweza kumvua Lewiathani kwa ndoano ya samaki, au kufunga ulimi wake kwa kamba?

Tazama sura Nakili




Yobu 41:1
6 Marejeleo ya Msalaba  

tena na kila kiumbe hai kilichoko pamoja nanyi, ndege, na mnyama wa kufugwa, na kila mnyama wa mwitu katika nchi pamoja nanyi; wote wanaotoka katika safina, hata kila kilicho hai katika nchi.


Na waulaani hao waulaanio mchana, Hao walio tayari kumwamsha huyo Lewiathani.


Je! Mtu yeyote atamnasa akiwa yu macho, Au, kumtoboa pua yake kwa mtego?


Ndimo zipitamo merikebu, Ndimo alimo Lewiathani uliyemwumba acheze humo.


Wewe ulivivunja vichwa vya Lewiathani, Awe chakula cha watu wa jangwani.


Katika siku hiyo BWANA, kwa upanga wake ulio mkali, ulio mkubwa, ulio na nguvu, atamwadhibu Lewiathani, nyoka yule mwepesi, na Lewiathani, nyoka yule mwenye kuzongazonga; naye atamwua yule joka aliye baharini.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo