Yobu 41:1 - Swahili Revised Union Version1 Je! Waweza wewe kumvua mamba kwa ndoana? Au, kuufunga ulimi wake kwa kamba? Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema1 “Yeyote anayeliona hilo dude, hufa moyo na kuzirai. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND1 “Yeyote anayeliona hilo dude, hufa moyo na kuzirai. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza1 “Yeyote anayeliona hilo dude, hufa moyo na kuzirai. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu1 “Je, unaweza kumvua Lewiathani kwa ndoana ya samaki, au kufunga ulimi wake kwa kamba? Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu1 “Je, waweza kumvua Lewiathani kwa ndoano ya samaki, au kufunga ulimi wake kwa kamba? Tazama sura |