Yobu 39:1 - Swahili Revised Union Version1 Je! Wajua majira ya kuzaa kwao mbuzi-mwitu walio majabalini? Au waweza kusema majira ya kuzaa kwa kulungu? Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema1 “Je, wajua mbuzi wa milimani huzaa lini, au umewahi kuona kulungu akizaa? Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND1 “Je, wajua mbuzi wa milimani huzaa lini, au umewahi kuona kulungu akizaa? Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza1 “Je, wajua mbuzi wa milimani huzaa lini, au umewahi kuona kulungu akizaa? Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu1 “Je, unajua wakati mbuzi wa mlimani wanapozaa? Je, unatambua wakati kulungu jike anapozaa mtoto wake? Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu1 “Je, wajua ni wakati gani mbuzi wa mlimani wanapozaa? Je, watambua ni wakati gani kulungu jike azaapo mtoto wake? Tazama sura |