Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Yobu 3:13 - Swahili Revised Union Version

13 Maana hapo ningelala na kutulia; Ningelala usingizi; na kupata kupumzika;

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

13 Maana ningekuwa nimezikwa, kimya; ningekuwa nimelazwa na kupumzika,

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

13 Maana ningekuwa nimezikwa, kimya; ningekuwa nimelazwa na kupumzika,

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

13 Maana ningekuwa nimezikwa, kimya; ningekuwa nimelazwa na kupumzika,

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

13 Kwa maana sasa ningekuwa nimepumzika kwa amani. Ningekuwa nimelala na kupumzika

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

13 Kwa maana sasa ningekuwa nimepumzika kwa amani. Ningekuwa nimelala na kupumzika

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

13 Maana hapo ningelala na kutulia; Ningelala usingizi; na kupata kupumzika;

Tazama sura Nakili




Yobu 3:13
22 Marejeleo ya Msalaba  

Kabla sijaenda huko ambako sitarudi kutoka huko tena, Ni hiyo nchi ya giza, giza tupu;


Ni nchi ya giza kuu, kama giza lenyewe lilivyo; Ni nchi ya giza tupu, isiyo na mpango wowote wa mambo, Nchi ambayo nuru yake ni kama giza.


Wewe wamshinda nguvu sikuzote, naye hupita aende zake Wabadili sura zake, na kumtuma aende mbali.


Kwani ikiisha pita miaka michache, Nitakwenda njia hiyo ambayo sitarudi tena.


Nikitazamia kuzimu kuwa nyumba yangu; Nikitandika malazi yangu gizani;


Lakini mimi najua ya kuwa Mteteaji wangu yu hai, Na ya kuwa hatimaye atasimama juu ya nchi.


Nami nitamwona mimi nafsi yangu, Na macho yangu yatamtazama, wala si mwingine. Mtima wangu unazimia ndani yangu!


Siku zao hutumia katika kufanikiwa, Kisha hushuka kuzimuni ghafla.


Mmoja hufa katika nguvu zake kamili, Mwenye kukaa salama na kustarehe;


Wao hulala mavumbini sawasawa, Mabuu huwafunika.


Ukame na joto hukausha maji ya theluji; Kama kuzimu kuwafanyavyo watenda dhambi.


Tumbo lililomzaa litamsahau; buu litamla na kuona tamu; Hatakumbukwa tena; Na udhalimu utavunjwa kama mti.


Hao waliokufa watetemesha Chini ya maji na hao wakaamo humo.


Kaburi li wazi mbele yake, Uharibifu nao hauna kifuniko.


Mbona pawe na magoti ya kunipokea? Au hayo maziwa, hata nikanyonya?


Hapana hofu ya giza kuu, mahali wawezapo kujificha watendao udhalimu.


Nawe, je! Mbona hunisamehe makosa yangu, Na kuniondolea maovu yangu? Kwa kuwa sasa nitalala mavumbini; Nawe utanitafuta kwa bidii, lakini sitakuwapo.


Lolote mkono wako utakalolipata kulifanya, ulifanye kwa nguvu zako; kwa kuwa hakuna kazi, wala shauri, wala maarifa, wala hekima, huko kuzimu uendako wewe.


Je! Wasilale pamoja na mashujaa wao wasiotahiriwa, walioanguka, walioshuka kuzimu pamoja na silaha zao za vita, ambao wameweka panga zao chini ya vichwa vyao, na maovu yao mifupani mwao? Maana waliwatisha mashujaa katika nchi ya walio hai.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo