Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Yobu 21:2 - Swahili Revised Union Version

2 Yasikizeni sana maneno yangu; Jambo hili na liwe faraja yenu.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

2 “Sikilizeni kwa makini maneno yangu; na hiyo iwe ndiyo faraja yenu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

2 “Sikilizeni kwa makini maneno yangu; na hiyo iwe ndiyo faraja yenu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

2 “Sikilizeni kwa makini maneno yangu; na hiyo iwe ndiyo faraja yenu.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

2 “Yasikilizeni maneno yangu kwa makini; hii na iwe faraja mnayonipa mimi.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

2 “Yasikilizeni maneno yangu kwa makini; hii na iwe faraja mnayonipa mimi.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

2 Yasikizeni sana maneno yangu; Jambo hili na liwe faraja yenu.

Tazama sura Nakili




Yobu 21:2
14 Marejeleo ya Msalaba  

Sikieni sana maneno yangu, Maelezo yangu na yaingie masikioni mwenu.


Sikieni sasa basi hoja zangu, Mkayasikie malalamiko ya midomo yangu.


Je! Utulivu wa Mungu ni mdogo sana kwako, Maliwazo ya Mungu ni madogo sana kwako?


Nimesikia maneno mengi mfano wa hayo; Ninyi nyote ni wafariji wenye kutaabisha.


Je! Hata lini utayawinda maneno kwa mitego? Fikiri, kisha baadaye tutanena.


Ndipo Ayubu akajibu, na kusema,


Niacheni, nami pia nitanena; Tena nikiisha nena, zidini kudhihaki.


Lakini, Ayubu, nakuomba usikilize hoja yangu, Ukayasikilize maneno yangu yote.


Sikilizeni maneno yangu, enyi wenye hekima; Tegeni masikio kwangu, ninyi mlio na maarifa.


Kwa nini mtoe fedha kwa ajili ya kitu ambacho si chakula? Na mapato yenu kwa kitu kisichoshibisha? Nisikilizeni kwa bidii, mle kilicho chema, Na kujifurahisha nafsi zenu kwa unono.


Kwa hiyo imetupasa kuyaangalia zaidi hayo tuliyoyasikia tusije tukayakosa.


Kisha walipomwambia huyo Yothamu, yeye akaenda, akasimama juu ya kilele cha kilima cha Gerizimu, akapaza sauti yake, akapiga kelele, na kuwaambia, Nisikieni mimi, enyi watu wa Shekemu, ili Mungu naye apate kuwasikia ninyi.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo