Yobu 20:2 - Swahili Revised Union Version2 Kwa hiyo mawazo yangu hunipa jawabu, Kwa ajili ya haraka niliyo nayo ndani yangu. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema2 “Fikira zangu zanifanya nikujibu, wala siwezi kujizuia tena. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND2 “Fikira zangu zanifanya nikujibu, wala siwezi kujizuia tena. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza2 “Fikira zangu zanifanya nikujibu, wala siwezi kujizuia tena. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu2 “Mawazo yanayonisumbua yananisukuma kujibu, kwa sababu nimehangaika sana. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu2 “Mawazo yanayonisumbua yananisukuma kujibu, kwa sababu nimehangaika sana. Tazama suraBIBLIA KISWAHILI2 Kwa hiyo mawazo yangu hunipa jawabu, Kwa ajili ya haraka niliyo nayo ndani yangu. Tazama sura |