Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Yobu 20:1 - Swahili Revised Union Version

1 Ndipo Sofari, Mnaamathi, akajibu, na kusema,

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

1 Kisha Sofari, Mnaamathi, akajibu:

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

1 Kisha Sofari, Mnaamathi, akajibu:

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

1 Kisha Sofari, Mnaamathi, akajibu:

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

1 Ndipo Sofari Mnaamathi akajibu:

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

1 Ndipo Sofari Mnaamathi akajibu:

Tazama sura Nakili




Yobu 20:1
5 Marejeleo ya Msalaba  

Ndipo Sofari Mnaamathi akajibu, na kusema,


Uogopeni upanga; Kwa maana adhabu za upanga zina ghadhabu, Mpate kujua ya kwamba hukumu iko.


Basi ikawa hao marafiki watatu wa Ayubu walipopata habari ya mabaya hayo yote yaliyomfikia, wakaja kila mtu kutoka mahali pake; nao ni Elifazi Mtemani, na Bildadi Mshuhi, na Sofari Mnaamathi; wakapatana pamoja ili waende kumfariji Ayubu na kumtuliza moyo.


Kwa hiyo mawazo yangu hunipa jawabu, Kwa ajili ya haraka niliyo nayo ndani yangu.


Basi Elifazi, Mtemani, na Bildadi, Mshuhi, na Sofari, Mnaamathi, wakaenda, wakafanya kama vile BWANA alivyowaamuru; naye BWANA akamridhia Ayubu.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo