Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Yobu 13:7 - Swahili Revised Union Version

7 Je! Mtanena yasiyo ya haki kwa ajili ya Mungu, Na kusema kwa udanganyifu kwa ajili yake?

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

7 Je, mnadhani mwamtumikia Mungu kwa kusema uongo? Mnafikiri kusema kwa hila kunamfaa yeye?

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

7 Je, mnadhani mwamtumikia Mungu kwa kusema uongo? Mnafikiri kusema kwa hila kunamfaa yeye?

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

7 Je, mnadhani mwamtumikia Mungu kwa kusema uongo? Mnafikiri kusema kwa hila kunamfaa yeye?

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

7 Je, mtazungumza kwa uovu kwa niaba ya Mungu? Je, mtazungumza kwa udanganyifu kwa niaba yake?

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

7 Je, mtazungumza kwa uovu kwa niaba ya Mungu? Je, mtazungumza kwa udanganyifu kwa niaba yake?

Tazama sura Nakili




Yobu 13:7
12 Marejeleo ya Msalaba  

Yehu akawakusanya watu wote, akawaambia, Ahabu alimtumikia Baali kidogo; bali Yehu atamtumikia sana.


Kwake yeye ziko nguvu, na hekima; Huyo adanganywaye, na mdanganyi pia ni wake.


Sikieni sasa basi hoja zangu, Mkayasikie malalamiko ya midomo yangu.


Awafitiniye rafiki zake wawe mawindo, Hata macho ya watoto wake yataingia kiwi.


Hakika midomo yangu haitanena yasiyo haki, Wala ulimi wangu hautatamka udanganyifu.


Maana hakika maneno yangu si ya uongo; Aliyekamilika katika maarifa yu pamoja nawe.


Kumbuka, tafadhali, ni nani aliyeangamia akiwa hana hatia? Au ni wapi hao waelekevu walikatiliwa mbali?


Watawatenga na masinagogi; naam, saa inakuja kila mtu awauaye atakapodhania ya kuwa anamfanyia Mungu ibada.


lakini tumekataa mambo ya aibu yaliyositirika, wala hatuenendi kwa hila, wala kulichanganya neno la Mungu na uongo; bali kwa kuidhihirisha iliyo kweli twajionesha kuwa na haki, dhamiri za watu zikitushuhudia mbele za Mungu.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo