Yobu 13:7 - Swahili Revised Union Version7 Je! Mtanena yasiyo ya haki kwa ajili ya Mungu, Na kusema kwa udanganyifu kwa ajili yake? Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema7 Je, mnadhani mwamtumikia Mungu kwa kusema uongo? Mnafikiri kusema kwa hila kunamfaa yeye? Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND7 Je, mnadhani mwamtumikia Mungu kwa kusema uongo? Mnafikiri kusema kwa hila kunamfaa yeye? Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza7 Je, mnadhani mwamtumikia Mungu kwa kusema uongo? Mnafikiri kusema kwa hila kunamfaa yeye? Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu7 Je, mtazungumza kwa uovu kwa niaba ya Mungu? Je, mtazungumza kwa udanganyifu kwa niaba yake? Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu7 Je, mtazungumza kwa uovu kwa niaba ya Mungu? Je, mtazungumza kwa udanganyifu kwa niaba yake? Tazama sura |