Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Yobu 12:5 - Swahili Revised Union Version

5 Katika mawazo yake huyo aliye na raha mna kudharau balaa; Tayari kwa ajili ya wenye kuteleza miguu.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

5 Mtu anayestarehe hudharau msiba; kwake, msiba huwajia wale wanaoteleza.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

5 Mtu anayestarehe hudharau msiba; kwake, msiba huwajia wale wanaoteleza.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

5 Mtu anayestarehe hudharau msiba; kwake, msiba huwajia wale wanaoteleza.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

5 Wanadamu wakiwa katika utulivu huwa na dharau kwa wale wenye msiba kana kwamba ndiyo haki ya wale ambao miguu yao inateleza.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

5 Wanadamu wakiwa katika utulivu huwa na dharau kwa wale wenye msiba kana kwamba ndiyo haki ya wale ambao miguu yao inateleza.

Tazama sura Nakili




Yobu 12:5
16 Marejeleo ya Msalaba  

Mimi ni mtu wa kuchekwa na jirani yake, Ni mtu niliyemwita Mungu, naye akanijibu; Huyo mwenye haki, aliye mtimilifu, amekuwa ni kicheko.


Hema za wanyang'anyi hufanikiwa, Na hao wamkasirishao Mungu hukaa salama; Mikononi mwao Mungu huleta vitu vingi.


Mimi nami ningeweza kunena kama ninyi; Kama roho zenu zingekuwa mahali pa roho yangu, Ningeweza kutunga maneno juu yenu, Na kuwatikisia ninyi kichwa changu.


Naam, mwanga wa waovu utazimika, Wala muali wa moto wake hautang'aa.


Je! Huyo punda mwitu hulia akiwa na majani? Au, ng'ombe hulia akiwa malishoni?


Nyayo zangu zimeshikamana na njia zako, Hatua zangu hazikuondoshwa.


Niliposema, Mguu wangu unateleza; Ee BWANA, fadhili zako zilinitegemeza.


Nuru ya mwenye haki yang'aa sana; Bali taa ya mtu mbaya itazimika.


Amlaaniye babaye au mamaye, Taa yake itazimika katika giza kuu.


Mtukuzeni BWANA, Mungu wenu, kabla hajaleta giza, na kabla miguu yenu haijakwaa juu ya milima yenye giza; na wakati mnapoitazamia nuru, kabla hajaigeuza kuwa kivuli cha mauti, na giza nene.


Wale wapumbavu wakawaambia wale wenye busara, Tupeni mafuta yenu kidogo; maana taa zetu zinazimika.


Kisha, nitajiambia, Ee nafsi yangu, una vitu vyema vingi ulivyojiwekea akiba kwa miaka mingi; pumzika basi, ule, unywe, ufurahi.


Kisasi ni changu mimi, na kulipa, Wakati itakapoteleza miguu yao; Maana siku ya msiba wao imekaribia, Na mambo yatakayowapata yatafanya haraka.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo