Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Yobu 10:12 - Swahili Revised Union Version

12 Unanijalia uhai na fadhili, Na kwa uangalifu wako roho yangu imetunzwa.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

12 Umenijalia uhai na fadhili, uangalifu wako umeisalimisha nafsi yangu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

12 Umenijalia uhai na fadhili, uangalifu wako umeisalimisha nafsi yangu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

12 Umenijalia uhai na fadhili, uangalifu wako umeisalimisha nafsi yangu.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

12 Umenipa uhai na kunitendea wema, katika uangalizi wako umeilinda roho yangu.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

12 Umenipa uhai na kunitendea wema, katika uangalizi wako umeilinda roho yangu.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

12 Unanijalia uhai na fadhili, Na kwa uangalifu wako roho yangu imetunzwa.

Tazama sura Nakili




Yobu 10:12
6 Marejeleo ya Msalaba  

Tazama, mtumwa wako ameona kibali machoni pako, nawe umezidisha rehema zako ulizonifanyia kwa kuponya nafsi yangu, nami siwezi kukimbilia mlimani nisipatwe na yale mabaya, nikafa.


Umenivika ngozi na nyama, Na kuniunga pamoja kwa mifupa na mishipa.


Roho ya Mungu imeniumba, Na pumzi za Mwenyezi hunipa uhai.


Kwa sababu hiyo nawaambieni, Msisumbukie maisha yenu, mle nini au mnywe nini; wala miili yenu, mvae nini. Maisha je! Si zaidi ya chakula, na mwili zaidi ya mavazi?


wala hatumikiwi kwa mikono ya wanadamu kana kwamba anahitaji kitu chochote; kwa maana ndiye anayewapa wote uzima na pumzi na vitu vyote.


Kwa maana ndani yake yeye tunaishi, tunakwenda, na kuwa na uhai wetu. Kama vile mmoja wenu, mtunga mashairi alivyosema, Maana sisi sote tu wazawa wake.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo