Yeremia 9:6 - Swahili Revised Union Version6 Makao yako ya katikati ya hadaa; kwa hadaa wanakataa kunijua mimi, asema BWANA. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema6 Wanarundika dhuluma juu ya dhuluma, na udanganyifu juu ya udanganyifu. Wanakataa kunitambua mimi. Mimi Mwenyezi-Mungu nimesema. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND6 Wanarundika dhuluma juu ya dhuluma, na udanganyifu juu ya udanganyifu. Wanakataa kunitambua mimi. Mimi Mwenyezi-Mungu nimesema. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza6 Wanarundika dhuluma juu ya dhuluma, na udanganyifu juu ya udanganyifu. Wanakataa kunitambua mimi. Mimi Mwenyezi-Mungu nimesema. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu6 Unakaa katikati ya udanganyifu; katika udanganyifu wao wanakataa kunitambua mimi,” asema Mwenyezi Mungu. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu6 Unakaa katikati ya udanganyifu; katika udanganyifu wao wanakataa kunitambua mimi,” asema bwana. Tazama sura |