Yeremia 4:9 - Swahili Revised Union Version9 Na katika siku hiyo itakuwa, asema BWANA, moyo wa mfalme utapotea, na moyo wa wakuu wake; na makuhani watastaajabu, na manabii watashangaa. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema9 Mwenyezi-Mungu asema hivi: “Siku hiyo, mfalme na wakuu watakufa moyo; makuhani watapigwa na bumbuazi, na manabii watashangaa.” Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND9 Mwenyezi-Mungu asema hivi: “Siku hiyo, mfalme na wakuu watakufa moyo; makuhani watapigwa na bumbuazi, na manabii watashangaa.” Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza9 Mwenyezi-Mungu asema hivi: “Siku hiyo, mfalme na wakuu watakufa moyo; makuhani watapigwa na bumbuazi, na manabii watashangaa.” Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu9 “Katika siku ile,” asema Mwenyezi Mungu “mfalme na maafisa watakata tamaa, makuhani watafadhaika, na manabii watashangazwa mno.” Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu9 “Katika siku ile,” asema bwana “mfalme na maafisa watakata tamaa, makuhani watafadhaika, na manabii watashangazwa mno.” Tazama suraBIBLIA KISWAHILI9 Na katika siku hiyo itakuwa, asema BWANA, moyo wa mfalme utapotea, na moyo wa wakuu wake; na makuhani watastaajabu, na manabii watashangaa. Tazama sura |