Yeremia 4:8 - Swahili Revised Union Version8 Kwa sababu hiyo jifungeni nguo za magunia; ombolezeni na kulia kwa uchungu; kwa maana hasira kali ya BWANA haikugeuka na kutuacha. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema8 Kwa hiyo, vaa vazi la gunia, omboleza na kulia; maana, hasira kali ya Mwenyezi-Mungu, bado haijaondoka kwetu. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND8 Kwa hiyo, vaa vazi la gunia, omboleza na kulia; maana, hasira kali ya Mwenyezi-Mungu, bado haijaondoka kwetu. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza8 Kwa hiyo, vaa vazi la gunia, omboleza na kulia; maana, hasira kali ya Mwenyezi-Mungu, bado haijaondoka kwetu. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu8 Hivyo vaeni magunia, ombolezeni na kulia kwa huzuni, kwa kuwa hasira kali ya Mwenyezi Mungu haijaondolewa kwetu. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu8 Hivyo vaeni nguo za magunia, ombolezeni na kulia kwa huzuni, kwa kuwa hasira kali ya bwana haijaondolewa kwetu. Tazama suraBIBLIA KISWAHILI8 Kwa sababu hiyo jifungeni nguo za magunia; ombolezeni na kulia kwa uchungu; kwa maana hasira kali ya BWANA haikugeuka na kutuacha. Tazama sura |