Yeremia 3:3 - Swahili Revised Union Version3 Kwa sababu hiyo manyunyu yamezuiliwa, wala hapakuwa na mvua ya vuli; hata hivyo ulikuwa na kipaji cha uso cha kahaba, ulikataa kutahayarika. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema3 Ndiyo maana manyunyu yamezuiliwa, na wala mvua za vuli hazijanyesha. Hata hivyo uko macho makavu kama kahaba, huna haya hata kidogo. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND3 Ndiyo maana manyunyu yamezuiliwa, na wala mvua za vuli hazijanyesha. Hata hivyo uko macho makavu kama kahaba, huna haya hata kidogo. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza3 Ndiyo maana manyunyu yamezuiliwa, na wala mvua za vuli hazijanyesha. Hata hivyo uko macho makavu kama kahaba, huna haya hata kidogo. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu3 Kwa hiyo mvua imezuiliwa, nazo mvua za vuli hazikunyesha. Hata hivyo, una uso usio na haya kama wa kahaba; unakataa kutahayari kwa aibu. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu3 Kwa hiyo mvua imezuiliwa, nazo mvua za vuli hazikunyesha. Hata hivyo, una uso usio na haya kama wa kahaba; unakataa kutahayari kwa aibu. Tazama suraBIBLIA KISWAHILI3 Kwa sababu hiyo manyunyu yamezuiliwa, wala hapakuwa na mvua ya vuli; hata hivyo ulikuwa na kipaji cha uso cha kahaba, ulikataa kutahayarika. Tazama sura |
ila wakakataa kutii, wala hawakuyakumbuka maajabu yako, uliyoyafanya kati yao; lakini wakafanya shingo zao kuwa ngumu, na katika kuasi kwao wakaweka jemadari, ili wairudie hali ya utumwa; lakini wewe u Mungu, uliye tayari kusamehe, mwenye neema, mwenye huruma nyingi, si mwepesi wa hasira, u mwingi wa rehema, basi hukuwaacha.