Yeremia 12:12 - Swahili Revised Union Version12 Watekao nyara wamepanda juu ya vilele vya milima katika nyika; kwa maana upanga wa BWANA utaangamiza toka upande mmoja wa nchi hata upande wa pili wa nchi; hapana mwenye mwili atakayekuwa na amani. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema12 Juu ya milima yote jangwani, watu wamefika kuangamiza. Upanga wangu unapita kuiangamiza nchi, toka upande mmoja hadi mwingine, wala hakuna mtu atakayeishi kwa amani. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND12 Juu ya milima yote jangwani, watu wamefika kuangamiza. Upanga wangu unapita kuiangamiza nchi, toka upande mmoja hadi mwingine, wala hakuna mtu atakayeishi kwa amani. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza12 Juu ya milima yote jangwani, watu wamefika kuangamiza. Upanga wangu unapita kuiangamiza nchi, toka upande mmoja hadi mwingine, wala hakuna mtu atakayeishi kwa amani. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu12 Juu ya miinuko yote ilivyo kama jangwani waangamizi watavamia, kwa maana upanga wa Mwenyezi Mungu utawala, kuanzia ncha moja ya nchi hadi nyingine; hakuna hata mmoja atakayekuwa salama. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu12 Juu ya miinuko yote ilivyo kama jangwani mharabu atajaa, kwa maana upanga wa bwana utawala, kuanzia ncha moja ya nchi hadi nyingine; hakuna hata mmoja atakayekuwa salama. Tazama sura |