Yeremia 12:11 - Swahili Revised Union Version11 Wamelifanya kuwa ukiwa, na kwa kuwa ni ukiwa linanililia; nchi yote imefanywa kuwa ukiwa, kwa sababu hapana mtu aliyeweka haya moyoni mwake. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema11 Wamelifanya kuwa tupu; katika ukiwa wake lanililia. Nchi yote imekuwa jangwa, wala hakuna mtu anayejali. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND11 Wamelifanya kuwa tupu; katika ukiwa wake lanililia. Nchi yote imekuwa jangwa, wala hakuna mtu anayejali. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza11 Wamelifanya kuwa tupu; katika ukiwa wake lanililia. Nchi yote imekuwa jangwa, wala hakuna mtu anayejali. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu11 Litafanywa kuwa jangwa, lililokauka na kuachwa ukiwa mbele zangu; nchi yote itafanywa jangwa kwa sababu hakuna hata mmoja anayejali. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu11 Litafanywa kuwa jangwa, lililokauka na kuachwa ukiwa mbele zangu; nchi yote itafanywa jangwa kwa sababu hakuna hata mmoja anayejali. Tazama sura |