Yeremia 11:3 - Swahili Revised Union Version3 ukawaambie, BWANA, Mungu wa Israeli, asema hivi, Na alaaniwe mtu asiyeyasikia maneno ya maagano haya, Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema3 Utawaambia hivi: Mwenyezi-Mungu, Mungu wa Israeli, asema hivi: Na alaaniwe mtu yeyote asiyejali masharti ya agano hili. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND3 Utawaambia hivi: Mwenyezi-Mungu, Mungu wa Israeli, asema hivi: Na alaaniwe mtu yeyote asiyejali masharti ya agano hili. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza3 Utawaambia hivi: Mwenyezi-Mungu, Mungu wa Israeli, asema hivi: Na alaaniwe mtu yeyote asiyejali masharti ya agano hili. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu3 Waambie kwamba hili ndilo asemalo Mwenyezi Mungu, Mungu wa Israeli: ‘Amelaaniwa mtu ambaye hatayatii maneno ya agano hili, Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu3 Waambie kwamba hili ndilo asemalo bwana, Mungu wa Israeli: ‘Amelaaniwa mtu ambaye hatayatii maneno ya agano hili, Tazama suraBIBLIA KISWAHILI3 ukawaambie, BWANA, Mungu wa Israeli, asema hivi, Na alaaniwe mtu asiyeyasikia maneno ya maagano haya, Tazama sura |