Yeremia 1:8 - Swahili Revised Union Version8 Usiogope kwa sababu ya hao maana mimi nipo pamoja nawe nikuokoe, asema BWANA. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema8 Wewe usiwaogope watu hao, kwa maana niko pamoja nawe kukulinda. Mimi Mwenyezi-Mungu nimesema.” Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND8 Wewe usiwaogope watu hao, kwa maana niko pamoja nawe kukulinda. Mimi Mwenyezi-Mungu nimesema.” Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza8 Wewe usiwaogope watu hao, kwa maana niko pamoja nawe kukulinda. Mimi Mwenyezi-Mungu nimesema.” Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu8 Usiwaogope, kwa maana niko pamoja nawe nikuokoe,” asema Mwenyezi Mungu. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu8 Usiwaogope, kwa maana niko pamoja nawe nikuokoe,” asema bwana. Tazama suraBIBLIA KISWAHILI8 Usiogope kwa sababu ya hao maana mimi nipo pamoja nawe nikuokoe, asema BWANA. Tazama sura |