Yeremia 1:6 - Swahili Revised Union Version6 Ndipo niliposema, Aa, Bwana MUNGU! Tazama, siwezi kusema; maana mimi ni mtoto. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema6 Nami nikajibu, Aa! Bwana Mwenyezi-Mungu, mimi sijui kusema, kwa kuwa bado ningali kijana. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND6 Nami nikajibu, Aa! Bwana Mwenyezi-Mungu, mimi sijui kusema, kwa kuwa bado ningali kijana. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza6 Nami nikajibu, Aa! Bwana Mwenyezi-Mungu, mimi sijui kusema, kwa kuwa bado ningali kijana. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu6 Nami nikasema, “Aa, Bwana Mungu Mwenyezi, sijui kusema, kwani mimi ni mtoto mdogo tu.” Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu6 Nami nikasema, “Aa, bwana Mwenyezi, sijui kusema, kwani mimi ni mtoto mdogo tu.” Tazama suraBIBLIA KISWAHILI6 Ndipo niliposema, Aa, Bwana MUNGU! Tazama, siwezi kusema; maana mimi ni mtoto. Tazama sura |