Yakobo 5:14 - Swahili Revised Union Version14 Mtu wa kwenu amekuwa mgonjwa? Na awaite wazee wa kanisa; nao wamwombee, na kumpaka mafuta kwa jina la Bwana. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema14 Je, yuko mgonjwa kati yenu? Anapaswa kuwaita wazee wa kanisa, nao watamwombea na kumpaka mafuta kwa jina la Bwana. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND14 Je, yuko mgonjwa kati yenu? Anapaswa kuwaita wazee wa kanisa, nao watamwombea na kumpaka mafuta kwa jina la Bwana. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza14 Je, yuko mgonjwa kati yenu? Anapaswa kuwaita wazee wa kanisa, nao watamwombea na kumpaka mafuta kwa jina la Bwana. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu14 Je, kuna yeyote miongoni mwenu aliye mgonjwa? Basi inampasa awaite wazee wa kundi la waumini wamwombee na kumpaka mafuta kwa Jina la Bwana Isa. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu14 Je, kuna yeyote miongoni mwenu aliye mgonjwa? Basi inampasa awaite viongozi wa kundi la waumini, nao wamwombee na kumpaka mafuta kwa Jina la Bwana Isa. Tazama suraBIBLIA KISWAHILI14 Mtu wa kwenu amekuwa mgonjwa? Na awaite wazee wa kanisa; nao wamwombee, na kumpaka mafuta kwa jina la Bwana. Tazama sura |