Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Yakobo 2:24 - Swahili Revised Union Version

24 Mwaona kwamba mwanadamu huhesabiwa kuwa ana haki kwa matendo yake; si kwa imani peke yake.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

24 Mnaona, basi, kwamba mtu hukubaliwa kuwa mwadilifu kwa matendo yake, na si kwa imani peke yake.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

24 Mnaona, basi, kwamba mtu hukubaliwa kuwa mwadilifu kwa matendo yake, na si kwa imani peke yake.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

24 Mnaona, basi, kwamba mtu hukubaliwa kuwa mwadilifu kwa matendo yake, na si kwa imani peke yake.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

24 Mnaona kwamba mtu huhesabiwa haki kwa yale anayotenda wala si kwa imani peke yake.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

24 Mnaona ya kwamba mtu huhesabiwa haki kwa yale anayotenda wala si kwa imani peke yake.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

24 Mwaona kwamba mwanadamu huhesabiwa kuwa ana haki kwa matendo yake; si kwa imani peke yake.

Tazama sura Nakili




Yakobo 2:24
6 Marejeleo ya Msalaba  

Kwa msaada wa Mungu tutatenda makuu, Maana Yeye atawakanyaga watesi wetu.


Basi, twaona ya kuwa mwanadamu huhesabiwa haki kwa imani pasipo matendo ya sheria.


Maandiko yale yakatimizwa yaliyonena, Abrahamu alimwamini Mungu, ikahesabiwa kwake kuwa ni haki; naye aliitwa rafiki wa Mungu.


Vivyo hivyo na Rahabu, yule kahaba naye, je! Hakuhesabiwa kuwa ana haki kwa matendo, hapo alipowakaribisha wajumbe, akawatoa nje kwa njia nyingine?


Tufuate:

Matangazo


Matangazo