Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Yakobo 1:8 - Swahili Revised Union Version

8 Mtu wa nia mbili husitasita katika njia zake zote.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Neno: Bibilia Takatifu

8 Yeye ni mtu mwenye nia mbili, mwenye kusitasita katika njia zake zote.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

8 Yeye ni mtu mwenye nia mbili, mwenye kusitasita katika njia zake zote.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

8 Mtu wa nia mbili husitasita katika njia zake zote.

Tazama sura Nakili




Yakobo 1:8
13 Marejeleo ya Msalaba  

Naye Eliya akawakaribia watu wote, akanena, Mtasitasita katikati ya mawazo mawili hata lini? BWANA akiwa ndiye Mungu, mfuateni; bali ikiwa Baali ni Mungu, haya! Mfuateni yeye. Wale watu hawakumjibu neno.


Wakamcha BWANA, na kuitumikia miungu yao wenyewe, sawasawa na kawaida za mataifa ambao wao walihamishwa kutoka kwao.


Basi mataifa hawa wakamcha BWANA, tena wakaziabudu sanamu zao za kuchongwa; na wana wao vile vile, na wana wa wana wao; kama walivyofanya baba zao, wao nao hufanya vivyo hivyo hata leo.


Watu wa kusitasita nawachukia, Lakini sheria yako naipenda.


Bwana akanena, Kwa kuwa watu hawa hunikaribia na kuniheshimu kwa vinywa vyao, bali mioyo yao wamefarakana nami, na kicho chao walichonacho kwangu ni maagizo ya wanadamu waliyofundishwa;


Moyo wao umegawanyika; sasa wataonekana kuwa na hatia; yeye atazipiga madhabahu zao, ataziharibu nguzo zao.


Taa ya mwili ni jicho; basi jicho lako likiwa kamili, mwili wako wote utakuwa na nuru.


Hakuna mtu awezaye kutumikia mabwana wawili; kwa maana atamchukia huyu, na kumpenda huyu; ama atashikamana na huyu, na kumdharau huyu. Hamwezi kumtumikia Mungu na mali.


Maana mtu kama yule asidhani ya kuwa atapokea kitu kwa Bwana.


Mkaribieni Mungu, naye atawakaribia ninyi. Itakaseni mikono yenu, enyi wenye dhambi, na kuisafisha mioyo yenu, enyi wenye nia mbili.


wenye macho yajaayo uzinzi, watu wasiokoma kutenda dhambi, wenye kuhadaa roho zisizo imara, wenye mioyo iliyozoezwa kutamani, wana wa laana;


akisema juu ya mambo haya kama afanyavyo katika barua zake zote pia, katika barua hizo yamo mambo ambayo ni vigumu kuyaelewa na mambo hayo watu wasio na elimu, wasio imara, huyapotoa, kama vile wapotoavyo Maandiko mengine, na kujiletea maangamizi wao wenyewe.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo