Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Walawi 8:19 - Swahili Revised Union Version

19 Kisha akamchinja; na Musa akainyunyiza damu yake katika madhabahu pande zote.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

19 Mose akamchinja na damu ya kondoo huyo akairashia madhabahu pande zake zote.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

19 Mose akamchinja na damu ya kondoo huyo akairashia madhabahu pande zake zote.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

19 Mose akamchinja na damu ya kondoo huyo akairashia madhabahu pande zake zote.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

19 Ndipo Musa akamchinja yule kondoo dume na kunyunyiza damu yake pande zote za madhabahu.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

19 Ndipo Musa akamchinja yule kondoo dume na kunyunyiza damu yake pande zote za madhabahu.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

19 Kisha akamchinja; na Musa akainyunyiza damu yake katika madhabahu pande zote.

Tazama sura Nakili




Walawi 8:19
5 Marejeleo ya Msalaba  

Basi wakawachinja ng'ombe, na makuhani wakaipokea damu, wakainyunyiza madhabahuni; wakawachinja kondoo dume, na kuinyunyiza damu madhabahuni; wakawachinja na wana-kondoo, na kuinyunyiza damu madhabahuni.


Naye atamchinja hapo upande wa madhabahu ulioelekea kaskazini mbele za BWANA; na wana wa Haruni, hao makuhani, watainyunyiza damu yake juu ya madhabahu pande zote.


Kisha akamsongeza yule kondoo dume wa sadaka ya kuteketezwa; na Haruni na wanawe wakaweka mikono yao kichwani mwa huyo kondoo.


Kisha akamkata kondoo vipande vyake; na Musa akateketeza kichwa, na vile vipande, na mafuta.


Na ile hema nayo na vyombo vyote vya ibada alivinyunyizia damu vivyo hivyo.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo