Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Walawi 8:12 - Swahili Revised Union Version

12 Kisha akamimina mafuta hayo ya kutia kichwani mwake Haruni, na kumtia mafuta, ili amtakase.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

12 Vilevile Mose akampaka Aroni mafuta kichwani ili kumweka wakfu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

12 Vilevile Mose akampaka Aroni mafuta kichwani ili kumweka wakfu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

12 Vilevile Mose akampaka Aroni mafuta kichwani ili kumweka wakfu.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

12 Akamimina sehemu ya hayo mafuta ya upako kichwani mwa Haruni, akampaka mafuta ili kumweka wakfu.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

12 Akamimina sehemu ya hayo mafuta ya upako kichwani mwa Haruni, akamtia mafuta ili kumweka wakfu.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

12 Kisha akamimina mafuta hayo ya kutia kichwani mwake Haruni, na kumtia mafuta, ili amtakase.

Tazama sura Nakili




Walawi 8:12
9 Marejeleo ya Msalaba  

Ni kama mafuta mazuri kichwani, Yashukayo ndevuni, ndevu za Haruni, Yashukayo mpaka upindo wa mavazi yake.


Nawe mvike huyo nduguyo Haruni na wanawe nao mavazi hayo; nawe watie mafuta, na kuwaweka kwa kazi takatifu, na kuwatakasa, ili wapate kunitumikia mimi katika kazi ya ukuhani.


Ndipo utakapotwaa hayo mafuta ya kupaka, na kummiminia kichwani mwake, na kumtia mafuta.


Nawe utawatia mafuta Haruni na wanawe, kuwaweka wakfu, ili wanitumikie wakiwa makuhani.


Wala hamtatoka nje mlangoni mwa hema ya kukutania, msije mkafa; kwa sababu mafuta ya kutiwa ya BWANA yako juu yenu. Nao wakafanya kama hilo neno la Musa.


kama kuhani aliyetiwa mafuta akifanya dhambi, hata analeta hatia juu ya watu; ndipo na atoe kwa ajili ya dhambi yake aliyoifanya, na kumsongeza kwa BWANA ng'ombe dume mchanga mkamilifu, kuwa ni sadaka ya dhambi.


sehemu ambayo BWANA aliagiza wapewe na wana wa Israeli, siku hiyo aliyowatia mafuta. Ni haki yao ya milele katika vizazi vyao vyote.


Kisha Musa akatwaa baadhi ya mafuta ya kutia, na ya damu iliyokuwa pale juu ya madhabahu, na kumnyunyizia Haruni, katika mavazi yake, na wanawe, katika mavazi yao; akamtakasa Haruni, na mavazi yake, na wanawe, na mavazi ya wanawe waliokuwa pamoja naye.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo