Walawi 7:5 - Swahili Revised Union Version5 na kuhani atayateketeza juu ya madhabahu, kuwa dhabihu kwa BWANA kwa njia ya moto; ni sadaka ya hatia. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema5 Kuhani ataviteketeza juu ya madhabahu kama sadaka anayotolewa Mwenyezi-Mungu kwa moto. Hiyo ni sadaka ya kuondoa hatia. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND5 Kuhani ataviteketeza juu ya madhabahu kama sadaka anayotolewa Mwenyezi-Mungu kwa moto. Hiyo ni sadaka ya kuondoa hatia. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza5 Kuhani ataviteketeza juu ya madhabahu kama sadaka anayotolewa Mwenyezi-Mungu kwa moto. Hiyo ni sadaka ya kuondoa hatia. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu5 Kuhani atayateketeza juu ya madhabahu kuwa sadaka iliyotolewa kwa Mwenyezi Mungu kwa moto. Hii ni sadaka ya hatia. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu5 Kuhani atayateketeza juu ya madhabahu kuwa sadaka iliyotolewa kwa bwana kwa moto. Hii ni sadaka ya hatia. Tazama suraBIBLIA KISWAHILI5 na kuhani atayateketeza juu ya madhabahu, kuwa dhabihu kwa BWANA kwa njia ya moto; ni sadaka ya hatia. Tazama sura |