Walawi 7:25 - Swahili Revised Union Version25 Kwani huyo mtu atakayekula mafuta ya mnyama, ambaye ni katika wanyama ambao watu husongeza sadaka kwa BWANA kwa moto, mtu huyo atakayekula mafuta hayo atakatiliwa mbali na watu wake. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema25 Mtu yeyote akila mafuta ya mnyama aliyetolewa kwa Mwenyezi-Mungu kwa moto, atatengwa na watu wake. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND25 Mtu yeyote akila mafuta ya mnyama aliyetolewa kwa Mwenyezi-Mungu kwa moto, atatengwa na watu wake. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza25 Mtu yeyote akila mafuta ya mnyama aliyetolewa kwa Mwenyezi-Mungu kwa moto, atatengwa na watu wake. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu25 Mtu yeyote alaye mafuta ya mnyama ambaye ametolewa sadaka kwa Mwenyezi Mungu kwa moto ni lazima akatiliwe mbali na watu wake. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu25 Mtu yeyote alaye mafuta ya mnyama ambaye ametolewa sadaka kwa bwana kwa moto ni lazima akatiliwe mbali na watu wake. Tazama suraBIBLIA KISWAHILI25 Kwani huyo mtu atakayekula mafuta ya mnyama, ambaye ni katika wanyama ambao watu husongeza sadaka kwa BWANA kwa moto, mtu huyo atakayekula mafuta hayo atakatiliwa mbali na watu wake. Tazama sura |