Walawi 5:5 - Swahili Revised Union Version5 kisha itakuwa, hapo atakapokuwa na hatia katika mambo hayo mojawapo, ndipo atakapoliungama jambo hilo alilolikosa; Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema5 Basi, mtu akiwa na hatia kuhusu mambo hayo lazima akiri dhambi yake aliyotenda Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND5 Basi, mtu akiwa na hatia kuhusu mambo hayo lazima akiri dhambi yake aliyotenda Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza5 Basi, mtu akiwa na hatia kuhusu mambo hayo lazima akiri dhambi yake aliyotenda Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu5 “ ‘Mtu yeyote atakapokuwa na hatia katika mojawapo ya haya, ni lazima akiri ni kwa njia gani ametenda dhambi, Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu5 “ ‘Wakati mtu yeyote atakapokuwa na hatia katika mojawapo ya haya, lazima akiri ni kwa njia gani ametenda dhambi, Tazama suraBIBLIA KISWAHILI5 kisha itakuwa, hapo atakapokuwa na hatia katika mambo hayo mojawapo, ndipo atakapoliungama jambo hilo alilolikosa; Tazama sura |