Walawi 4:19 - Swahili Revised Union Version19 Kisha atayaondoa mafuta yake yote na kuyateketeza juu ya madhabahu. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema19 Mafuta yote ya mnyama huyo atayachukua na kuyateketeza kwenye madhabahu. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND19 Mafuta yote ya mnyama huyo atayachukua na kuyateketeza kwenye madhabahu. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza19 Mafuta yote ya mnyama huyo atayachukua na kuyateketeza kwenye madhabahu. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu19 Atayaondoa mafuta yote ya yule fahali na kuyateketeza juu ya madhabahu, Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu19 Atayaondoa mafuta yote ya yule fahali na kuyateketeza juu ya madhabahu, Tazama suraBIBLIA KISWAHILI19 Kisha atayaondoa mafuta yake yote na kuyateketeza juu ya madhabahu. Tazama sura |
kisha atayaondoa mafuta yake yote, kama mafuta ya mwana-kondoo yalivyoondolewa katika hizo sadaka za amani; kisha kuhani atayateketeza juu ya madhabahu, kwa desturi ya hizo sadaka za BWANA zilizosongezwa kwa njia ya moto; na kuhani atamfanyia upatanisho kwa ajili ya hiyo dhambi yake aliyoifanya, naye atasamehewa.