Walawi 3:12 - Swahili Revised Union Version12 Na matoleo yake, kwamba ni mbuzi, ndipo atakapomtoa mbele za BWANA; Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema12 “Kama sadaka yake ni mbuzi, basi, atamtolea mbele ya Mwenyezi-Mungu Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND12 “Kama sadaka yake ni mbuzi, basi, atamtolea mbele ya Mwenyezi-Mungu Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza12 “Kama sadaka yake ni mbuzi, basi, atamtolea mbele ya Mwenyezi-Mungu Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu12 “ ‘Ikiwa sadaka yake ni mbuzi, ataileta mbele za Mwenyezi Mungu. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu12 “ ‘Kama sadaka yake ni mbuzi, ataileta mbele za bwana. Tazama suraBIBLIA KISWAHILI12 Na matoleo yake, kwamba ni mbuzi, ndipo atakapomtoa mbele za BWANA; Tazama sura |