Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Walawi 3:12 - Swahili Revised Union Version

12 Na matoleo yake, kwamba ni mbuzi, ndipo atakapomtoa mbele za BWANA;

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

12 “Kama sadaka yake ni mbuzi, basi, atamtolea mbele ya Mwenyezi-Mungu

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

12 “Kama sadaka yake ni mbuzi, basi, atamtolea mbele ya Mwenyezi-Mungu

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

12 “Kama sadaka yake ni mbuzi, basi, atamtolea mbele ya Mwenyezi-Mungu

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

12 “ ‘Ikiwa sadaka yake ni mbuzi, ataileta mbele za Mwenyezi Mungu.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

12 “ ‘Kama sadaka yake ni mbuzi, ataileta mbele za bwana.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

12 Na matoleo yake, kwamba ni mbuzi, ndipo atakapomtoa mbele za BWANA;

Tazama sura Nakili




Walawi 3:12
15 Marejeleo ya Msalaba  

Maana alikuwa mbele zake kama mche mwororo, Na kama mzizi katika nchi kavu; Yeye hana umbo wala uzuri; Na tumwonapo hana uzuri hata tumtamani.


Sisi sote kama kondoo tumepotea; Kila mmoja wetu amegeukia njia yake mwenyewe; Na BWANA ameweka juu yake Maovu yetu sisi sote.


Na matoleo yake kwamba ni katika kundi, katika kondoo, au katika mbuzi, kuwa sadaka ya kuteketezwa; atatoa dume asiye na dosari.


Nena na wana wa Israeli, uwaambie, Mtu wa kwenu atakapomtolea BWANA matoleo, mtatoa matoleo yenu katika wanyama wa kufugwa, katika ng'ombe, kondoo na mbuzi.


Kisha atachuna sadaka ya kuteketeza na kuikata vipande vyake.


Kisha Musa akamtafuta sana huyo mbuzi wa sadaka ya dhambi, naye, tazama, alikuwa amekwisha kuteketezwa; naye akawakasirikia hao Eleazari na Ithamari, wana wa Haruni, hao waliobaki, akawaambia,


Na matoleo yake kwamba ni sadaka za amani; kwamba asongeza katika ng'ombe, dume au jike, atamtoa huyo asiye na dosari mbele ya BWANA.


Kisha akaisongeza dhabihu ya watu, akamtwaa mbuzi wa sadaka ya dhambi aliyekuwa kwa hao watu, na kumchinja, na kumtoa kwa ajili ya dhambi kama yule wa kwanza.


Nawe utawaambia wana wa Israeli, ukisema, Twaeni mbuzi dume awe sadaka ya dhambi; na mwana-ng'ombe, na mwana-kondoo, wote wa mwaka wa kwanza, wakamilifu, kwa sadaka ya kuteketezwa;


Au kwa ajili ya kondoo dume, utaiandaa sadaka ya unga ya sehemu za kumi mbili za efa ya unga mwembamba uliochanganywa na sehemu ya tatu ya hini ya mafuta;


Maana yale yasiyowezekana kwa sheria, kwa vile ilivyokuwa dhaifu kwa sababu ya mwili, Mungu, kwa kumtuma Mwanawe mwenyewe katika mfano wa mwili ulio wa dhambi, na kwa sababu ya dhambi, aliihukumu dhambi katika mwili;


Yeye asiyejua dhambi alimfanya kuwa dhambi kwa ajili yetu, ili sisi tupate kuwa haki ya Mungu katika Yeye.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo