Walawi 3:1 - Swahili Revised Union Version1 Na matoleo yake kwamba ni sadaka za amani; kwamba asongeza katika ng'ombe, dume au jike, atamtoa huyo asiye na dosari mbele ya BWANA. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema1 “Kama mtu anatoa sadaka ya amani, na sadaka yake ni ng'ombe dume au jike basi, mnyama huyo asiwe na dosari mbele yangu. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND1 “Kama mtu anatoa sadaka ya amani, na sadaka yake ni ng'ombe dume au jike basi, mnyama huyo asiwe na dosari mbele yangu. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza1 “Kama mtu anatoa sadaka ya amani, na sadaka yake ni ng'ombe dume au jike basi, mnyama huyo asiwe na dosari mbele yangu. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu1 “ ‘Ikiwa mtu anatoa sadaka ya amani, naye akatoa ng’ombe, akiwa dume au jike, atamleta mnyama asiye na dosari mbele za Mwenyezi Mungu. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu1 “ ‘Kama sadaka ya mtu ni sadaka ya amani, naye akatoa ng’ombe kutoka kundi, akiwa dume au jike, atamleta mnyama asiye na dosari mbele za bwana. Tazama suraBIBLIA KISWAHILI1 Na matoleo yake kwamba ni sadaka za amani; kwamba asongeza katika ng'ombe, dume au jike, atamtoa huyo asiye na dosari mbele za BWANA. Tazama sura |