Walawi 25:4 - Swahili Revised Union Version4 lakini katika mwaka wa saba itakuwa ni Sabato ya kustarehe kabisa kwa ajili ya hiyo nchi, ni Sabato kwa BWANA; usipande shamba lako, wala usipelee shamba lako la mizabibu. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema4 Lakini mwaka wa saba utakuwa ni sabato ya mapumziko rasmi; ni sabato ya Mwenyezi-Mungu. Msipande chochote wala kuipogoa mizabibu yenu. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND4 Lakini mwaka wa saba utakuwa ni sabato ya mapumziko rasmi; ni sabato ya Mwenyezi-Mungu. Msipande chochote wala kuipogoa mizabibu yenu. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza4 Lakini mwaka wa saba utakuwa ni sabato ya mapumziko rasmi; ni sabato ya Mwenyezi-Mungu. Msipande chochote wala kuipogoa mizabibu yenu. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu4 Lakini katika mwaka wa saba, nchi lazima iwe na sabato ya mapumziko, sabato kwa Mwenyezi Mungu. Msipande mbegu katika mashamba yenu, wala msikate mizabibu yenu matawi. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu4 Lakini mwaka wa saba nchi lazima iwe na Sabato ya mapumziko, Sabato kwa bwana. Msipande mbegu katika mashamba yenu, wala msikate mizabibu yenu matawi. Tazama sura |