Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Walawi 24:6 - Swahili Revised Union Version

6 Nawe iweke mistari miwili, mikate sita kwa kila mstari, juu ya hiyo meza safi, mbele za BWANA.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

6 Mikate hiyo itapangwa safu mbili juu ya meza ya dhahabu safi, kila safu mikate sita.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

6 Mikate hiyo itapangwa safu mbili juu ya meza ya dhahabu safi, kila safu mikate sita.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

6 Mikate hiyo itapangwa safu mbili juu ya meza ya dhahabu safi, kila safu mikate sita.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

6 Iweke katika mistari miwili, kila mstari mikate sita, uiweke mbele za Mwenyezi Mungu juu ya meza iliyotengenezwa kwa dhahabu safi.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

6 Iweke katika mistari miwili, kila mstari mikate sita, uiweke mbele za bwana juu ya meza iliyotengenezwa kwa dhahabu safi.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

6 Nawe iweke mistari miwili, mikate sita kwa kila mstari, juu ya hiyo meza safi, mbele za BWANA.

Tazama sura Nakili




Walawi 24:6
13 Marejeleo ya Msalaba  

Sulemani akavitengeneza vyombo vyote vilivyokuwamo nyumbani mwa BWANA; madhabahu ya dhahabu, na ile meza iliyokuwa na mikate ya wonyesho juu yake ilikuwa ya dhahabu;


nao humtolea BWANA kila asubuhi, na kila jioni, sadaka za kuteketezwa na fukizo la manukato; mikate ya wonyesho pia huiweka kwa taratibu yake juu ya meza takatifu, na kinara cha dhahabu chenye taa zake, kuwaka kila jioni; kwa maana sisi tunayatunza maagizo ya BWANA, Mungu wetu; bali ninyi mmemwacha.


Basi Sulemani akavifanya vyombo vyote vilivyokuwamo nyumbani mwa Mungu, madhabahu ya dhahabu pia, nazo meza, ambazo juu yake iliwekwa mikate ya wonyesho;


kwa mikate mitakatifu, na kwa sadaka ya unga ya daima, na kwa sadaka ya kuteketezwa ya daima, ya sabato, na ya siku za mwezi mpya, na ya sikukuu, tena kwa vitu vile vitakatifu, na kwa sadaka za dhambi, za kuwafanyia Israeli upatanisho, na kwa ajili ya kazi yote ya nyumba ya Mungu wetu.


Kisha tukapiga kura, makuhani, na Walawi, na watu, juu ya matoleo ya kuni, ili kuzileta nyumbani kwa Mungu wetu, kwa kadiri ya mbari za baba zetu, kwa nyakati zilizoamriwa, mwaka kwa mwaka, kukoka moto madhabahuni mwa BWANA, Mungu wetu, kama ilivyoandikwa katika torati;


Nawe utaiweka mikate ya wonyesho juu ya meza mbele yangu daima.


na meza, na vyombo vyake vyote, na mikate ya wonyesho;


Madhabahu ilikuwa ni ya miti, kimo chake dhiraa tatu, na urefu wake dhiraa mbili; na pembe zake, na msingi wake, na kuta zake zilikuwa za miti; akaniambia, Hii ndiyo meza iliyo mbele za BWANA.


Lakini mambo yote na yatendeke kwa uzuri na kwa utaratibu.


Maana hema ilitengenezwa, ile ya kwanza, mlimokuwa na kinara cha taa, na meza, na mikate mitakatifu; ndipo palipoitwa, Patakatifu.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo