Walawi 24:5 - Swahili Revised Union Version5 Nawe utatwaa unga mwembamba, na kuoka mikate kumi na miwili ya huo unga; sehemu za kumi mbili za efa, zitakuwa katika mkate mmoja. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema5 “Chukua unga laini, kilo kumi na mbili na kuoka mikate kumi na miwili. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND5 “Chukua unga laini, kilo kumi na mbili na kuoka mikate kumi na miwili. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza5 “Chukua unga laini, kilo kumi na mbili na kuoka mikate kumi na miwili. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu5 “Chukua unga laini, uoke mikate kumi na miwili, ukitumia sehemu mbili za kumi ya efa ya unga kwa kila mkate. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu5 “Chukua unga laini, uoke mikate kumi na miwili, ukitumia sehemu mbili za kumi za efa za unga kwa kila mkate. Tazama suraBIBLIA KISWAHILI5 Nawe utatwaa unga mwembamba, na kuoka mikate kumi na miwili ya huo unga; sehemu za kumi mbili za efa, zitakuwa katika mkate mmoja. Tazama sura |
nao humtolea BWANA kila asubuhi, na kila jioni, sadaka za kuteketezwa na fukizo la manukato; mikate ya wonyesho pia huiweka kwa taratibu yake juu ya meza takatifu, na kinara cha dhahabu chenye taa zake, kuwaka kila jioni; kwa maana sisi tunayatunza maagizo ya BWANA, Mungu wetu; bali ninyi mmemwacha.