Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Walawi 22:31 - Swahili Revised Union Version

31 Kwa hiyo mtayashika maagizo yangu, na kuyafanya; mimi ndimi BWANA.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

31 “Kwa hiyo mtazishika na kuzitekeleza amri zangu. Mimi ndimi Mwenyezi-Mungu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

31 “Kwa hiyo mtazishika na kuzitekeleza amri zangu. Mimi ndimi Mwenyezi-Mungu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

31 “Kwa hiyo mtazishika na kuzitekeleza amri zangu. Mimi ndimi Mwenyezi-Mungu.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

31 “Shikeni maagizo yangu na kuyafuata. Mimi ndimi Mwenyezi Mungu.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

31 “Shikeni maagizo yangu na kuyafuata. Mimi ndimi bwana.

Tazama sura Nakili




Walawi 22:31
8 Marejeleo ya Msalaba  

Mtazishika amri zangu. Usiwaache wanyama wako wa mfugo wakazaana kwa namna mbalimbali; usipande shamba lako mbegu za namna mbili pamoja; wala usivae mwilini mwako nguo ya namna mbili zilizochanganywa pamoja.


Zishikeni sheria zangu, na hukumu zangu, na kuzitenda. Mimi ndimi BWANA.


Italiwa siku iyo hiyo; msisaze kitu chake hata asubuhi; mimi ndimi BWANA.


Wala msilinajisi jina langu takatifu; lakini nitatakaswa mimi katika wana wa Israeli; mimi ndimi BWANA niwatakasaye ninyi,


ili mpate kukumbuka na kuyafanya maagizo yangu yote, na kuwa watakatifu kwa Mungu wenu.


Basi, zishike sheria zake, na amri zake, ninazokuamuru leo, upate kufanikiwa, wewe na watoto wako baada yako, na siku zako ziwe nyingi katika nchi ile akupayo BWANA, Mungu wako, milele.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo