Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Walawi 15:1 - Swahili Revised Union Version

1 Kisha BWANA akanena na Musa na Haruni, na kuwaambia,

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

1 Mwenyezi-Mungu alimwambia Mose na Aroni,

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

1 Mwenyezi-Mungu alimwambia Mose na Aroni,

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

1 Mwenyezi-Mungu alimwambia Mose na Aroni,

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

1 Mwenyezi Mungu akawaambia Musa na Haruni,

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

1 bwana akawaambia Musa na Haruni,

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

1 Kisha BWANA akanena na Musa na Haruni, na kuwaambia,

Tazama sura Nakili




Walawi 15:1
8 Marejeleo ya Msalaba  

Siri ya BWANA iko kwao wamchao, Naye atawajulisha agano lake.


BWANA akanena na Musa na Haruni, na kuwaambia,


Kisha BWANA akanena na Musa na Haruni, na kuwaambia,


ili kufunza itakapokuwa ni unajisi, na itakapokuwa ni safi; hiyo ndiyo sheria ya ukoma.


Haya, semeni na wana wa Israeli, mkawaambie, Mtu yeyote atakapokuwa na kisonono na kutokwa usaha mwilini mwake, atakuwa najisi kwa ajili ya kisonono chake.


Hakika Bwana MUNGU hatafanya neno lolote, bila kuwafunulia watumishi wake manabii siri yake.


Na kitu chochote atakachokigusa mtu aliye najisi kitakuwa najisi; na mtu atakayekigusa kitu hicho atakuwa najisi hadi jioni.


Mungu, ambaye alisema zamani na baba zetu katika manabii kwa sehemu nyingi na kwa njia nyingi,


Tufuate:

Matangazo


Matangazo