Walawi 13:54 - Swahili Revised Union Version54 ndipo kuhani ataamuru kwamba wakifue kitu kile kilicho na hilo pigo, naye atakiweka mahali muda wa siku saba tena; Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema54 ataamuru vazi hilo lifuliwe na kuwekwa kando kwa muda mwingine wa siku saba. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND54 ataamuru vazi hilo lifuliwe na kuwekwa kando kwa muda mwingine wa siku saba. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza54 ataamuru vazi hilo lifuliwe na kuwekwa kando kwa muda mwingine wa siku saba. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu54 ataagiza kwamba vazi lenye maambukizo lisafishwe. Kisha atalitenga kwa siku nyingine saba. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu54 ataagiza kwamba kifaa chenye maambukizo kisafishwe. Kisha atakitenga kwa siku saba. Tazama sura |