Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Walawi 13:54 - Swahili Revised Union Version

54 ndipo kuhani ataamuru kwamba wakifue kitu kile kilicho na hilo pigo, naye atakiweka mahali muda wa siku saba tena;

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

54 ataamuru vazi hilo lifuliwe na kuwekwa kando kwa muda mwingine wa siku saba.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

54 ataamuru vazi hilo lifuliwe na kuwekwa kando kwa muda mwingine wa siku saba.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

54 ataamuru vazi hilo lifuliwe na kuwekwa kando kwa muda mwingine wa siku saba.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

54 ataagiza kwamba vazi lenye maambukizo lisafishwe. Kisha atalitenga kwa siku nyingine saba.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

54 ataagiza kwamba kifaa chenye maambukizo kisafishwe. Kisha atakitenga kwa siku saba.

Tazama sura Nakili




Walawi 13:54
2 Marejeleo ya Msalaba  

Na kama kuhani akitazama, ikiwa hilo pigo halikuenea katika hilo vazi, wala katika hilo lililofumwa, wala katika hilo lililosokotwa, wala katika kitu chochote cha ngozi;


kisha kuhani ataangalia, baada ya kuoshwa hilo pigo; ikiwa hilo pigo halikugeuka rangi yake, wala halikuenea, ni najisi; utaliteketeza; ni uharibifu likiwa lina doa ndani au nje.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo