Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Walawi 13:35 - Swahili Revised Union Version

35 Lakini hicho kipwepwe kama kikienea katika ngozi yake baada ya kutakasika kwake;

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

35 Lakini iwapo vipele hivyo vimeenea baada ya kutakaswa,

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

35 Lakini iwapo vipele hivyo vimeenea baada ya kutakaswa,

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

35 Lakini iwapo vipele hivyo vimeenea baada ya kutakaswa,

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

35 Lakini ikiwa kidonda kitaenea katika ngozi baada ya kutangazwa kuwa safi,

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

35 Lakini ikiwa upele utaenea juu ya ngozi baada ya kutangazwa kuwa safi,

Tazama sura Nakili




Walawi 13:35
7 Marejeleo ya Msalaba  

na kuhani atamwangalia siku ya saba; kama kimeenea katika ngozi, ndipo huyo kuhani atasema kuwa ni najisi; hili ni pigo la ukoma.


ndipo kuhani ataliangalia hilo pigo; ikiwa pigo limeingia ndani kuliko ngozi yenyewe, na nywele zilizomo kuwa za rangi ya manjano na nyembamba, ndipo kuhani atasema kwamba ni najisi, maana ni kipwepwe, ni ukoma wa kichwa au wa kindevu.


na siku ya saba kuhani atakiangalia hicho kipwepwe, ikiwa kipwepwe hakikuenea katika ngozi yake, wala hakionekani kuingia ndani kuliko ngozi; ndipo huyo kuhani atasema kwamba ni safi; naye atazifua nguo zake, naye atakuwa ni safi.


ndipo kuhani atamwangalia; na ikiwa hicho kipwepwe kimeenea katika ngozi yake, kuhani hatatafuta hizo nywele za rangi ya manjano; yeye ni najisi.


Lakini ikiwa kipele kimeenea katika ngozi yake baada ya kujionesha kwa kuhani ili kutakaswa, atamwendea kuhani tena;


Lakini watu waovu na wadanganyaji wataendelea, na kuzidi kuwa waovu, wakidanganya na kudanganyika.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo