Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Walawi 13:28 - Swahili Revised Union Version

28 Na kama hicho kipaku kikibaki pale pale, wala hakikuenea katika ngozi, lakini kimefifia; ni kufura kwake pale penye moto, na kuhani atasema kuwa ni safi; kwa kuwa ni kovu la kuwasha hili.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

28 Lakini, kama ile alama haijaenea, ila imefifia, huo ni uvimbe uliotokana na kuungua; basi, kuhani atamtangaza mtu huyo kuwa safi; kwani hilo ni kovu la kuungua.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

28 Lakini, kama ile alama haijaenea, ila imefifia, huo ni uvimbe uliotokana na kuungua; basi, kuhani atamtangaza mtu huyo kuwa safi; kwani hilo ni kovu la kuungua.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

28 Lakini, kama ile alama haijaenea, ila imefifia, huo ni uvimbe uliotokana na kuungua; basi, kuhani atamtangaza mtu huyo kuwa safi; kwani hilo ni kovu la kuungua.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

28 Lakini, kama alama ile haikubadilika na wala haijaenea kwenye ngozi, napo pamepungua, ni uvimbe kutokana na jeraha la moto, na kuhani atamtangaza kuwa safi; ni kovu tu kutokana na kuungua.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

28 Lakini, kama alama ile haikubadilika na wala haijaenea kwenye ngozi, napo pamepungua, ni uvimbe kutokana na jeraha la moto, na kuhani atamtangaza kuwa safi; ni kovu tu kutokana na kuungua.

Tazama sura Nakili




Walawi 13:28
2 Marejeleo ya Msalaba  

na kuhani atamwangalia siku ya saba; kama kimeenea katika ngozi, ndipo huyo kuhani atasema kuwa ni najisi; hili ni pigo la ukoma.


Mwanamume au mwanamke atakapopatwa na maradhi kichani au kidevuni,


Tufuate:

Matangazo


Matangazo