Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Walawi 13:1 - Swahili Revised Union Version

1 Kisha BWANA akanena na Musa na Haruni, na kuwaambia,

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

1 Mwenyezi-Mungu aliwaambia Mose na Aroni,

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

1 Mwenyezi-Mungu aliwaambia Mose na Aroni,

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

1 Mwenyezi-Mungu aliwaambia Mose na Aroni,

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

1 Mwenyezi Mungu akawaambia Musa na Haruni,

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

1 bwana akawaambia Musa na Haruni,

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

1 Kisha BWANA akanena na Musa na Haruni, na kuwaambia,

Tazama sura Nakili




Walawi 13:1
7 Marejeleo ya Msalaba  

Kama mali yake huyo mwanamke haimudu mwana-kondoo, hapo ndipo atakapochukua hua wawili, au makinda mawili ya njiwa; mmoja kuwa sadaka ya kuteketezwa, na wa pili kuwa sadaka ya dhambi; naye kuhani atafanya upatanisho kwa ajili yake, naye atakuwa safi.


Mtu atakapokuwa na uvimbe katika ngozi ya mwili wake, au upele, au kipaku king'aacho, nao ukawa ni ugonjwa wa ukoma katika ngozi ya mwili wake, ndipo atakapoletwa kwa Haruni kuhani, au kwa mmojawapo wa wanawe makuhani;


Kisha BWANA akanena na Musa na Haruni, na kuwaambia,


Akaja kwake mtu mwenye ukoma, akamsihi na kumpigia magoti, na kumwambia, Ukitaka, waweza kunitakasa.


Alipowaona aliwaambia, Nendeni, mkajioneshe kwa makuhani. Ikawa walipokuwa wakienda walitakasika.


Ikawa, alipokuwa katika mmojawapo wa miji ile, tazama, palikuwa na mtu amejaa ukoma; naye alipomwona Yesu alianguka kifudifudi, akamwomba akisema, Bwana, ukitaka, waweza kunitakasa.


Angalia katika pigo la ukoma, utunze kwa bidii, kwa kufanya mfano wa yote watakayowafundisha makuhani Walawi; tunzeni kwa kuyafanya vile vile kama nilivyowaamuru wao.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo