Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Walawi 11:8 - Swahili Revised Union Version

8 Msiile nyama yao, wala msiiguse mizoga yao; hao ni najisi kwenu.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

8 Kwa sababu wanyama hao ni najisi msile nyama yao wala msiguse mizoga yao.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

8 Kwa sababu wanyama hao ni najisi msile nyama yao wala msiguse mizoga yao.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

8 Kwa sababu wanyama hao ni najisi msile nyama yao wala msiguse mizoga yao.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

8 Kamwe msile nyama yao wala kugusa mizoga yao; wao ni najisi kwenu.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

8 Kamwe msile nyama yao wala kugusa mizoga yao; wao ni najisi kwenu.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

8 Msiile nyama yao, wala msiiguse mizoga yao; hao ni najisi kwenu.

Tazama sura Nakili




Walawi 11:8
22 Marejeleo ya Msalaba  

Nendeni zenu, nendeni zenu, tokeni huko, msiguse kitu kichafu; tokeni kati yake; iweni safi ninyi mnaochukua vyombo vya BWANA.


Hawatakaa katika nchi ya BWANA; lakini Efraimu atarudi Misri, nao watakula chakula najisi katika Ashuru.


Na nguruwe, kwa sababu yeye anazo kwato, ni mwenye miguu iliyopasuka kati, lakini hacheui, yeye ni najisi kwenu.


Katika hao wote walio ndani ya maji mtakula hawa; kila aliye na mapezi na magamba, ndani ya hayo maji, na ndani ya bahari, na ndani ya mito, mtakula hao.


au kama mtu akigusa kitu kilicho najisi, iwe ni mzoga wa mnyama nyikani aliye najisi, au ni mzoga wa mnyama wa mfugo aliye najisi, au ni mzoga wa mdudu aliye najisi, bila kujua, akapata kuwa najisi, ndipo atakapochukua uovu wake;


Sikilizeni, mfahamu; Sicho kiingiacho kinywani kimtiacho mtu unajisi; bali kitokacho kinywani ndicho kimtiacho mtu unajisi.


hayo ndiyo yamtiayo mtu unajisi; lakini kula kabla hajanawa mikono hakumtii mtu unajisi.


Hakuna kitu kilicho nje ya mtu ambacho kikimwingia chaweza kumtia unajisi, bali vile vimtokavyo, ndivyo vimtiavyo unajisi yule mtu. [


Akawaambia, Hivi hata ninyi hamna akili? Hamfahamu ya kwamba kila kitu kilicho nje ya mtu, kikimwingia, hakiwezi kumtia unajisi;


wakaona wengine katika wanafunzi wake wakila vyakula kwa mikono najisi, yaani, isiyonawiwa.


Akawaambia, Ninyi mnajua ya kuwa si halali kwa mtu aliye Myahudi ashirikiane na mtu wa taifa lingine wala kumtembelea, lakini Mungu amenionya, nisimwite mtu yeyote mchafu wala najisi.


yaani, mjiepushe na vitu vilivyotolewa sadaka kwa sanamu, na damu, na nyama zilizosongolewa, na uasherati. Mkijizuia na hayo, mtafanya vema. Wasalamu.


Ni vyema kutokula nyama wala kunywa divai wala kutenda neno lolote ambalo kwa hilo ndugu yako hukwazwa.


Lakini chakula hakitupeleki karibu na Mungu; maana, tusipokula hatupunguziwi kitu, wala tukila, hatuongezewi kitu.


Kwa hiyo, Tokeni kati yao, Mkatengwe nao, asema Bwana, Msiguse kitu kilicho kichafu, Nami nitawakaribisha.


Wala msishirikiane na matendo yasiyozaa ya giza, bali myakemee;


Basi msishirikiane nao.


Basi, mtu asiwahukumu ninyi katika vyakula au vinywaji, au kwa sababu ya sikukuu au mwandamo wa mwezi, au sabato;


kwa kuwa ni sheria za jinsi ya mwili tu, vyakula na vinywaji na kunawa kwingine kwingine, zilizoamriwa hata wakati wa matengenezo mapya.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo