Walawi 11:8 - Swahili Revised Union Version8 Msiile nyama yao, wala msiiguse mizoga yao; hao ni najisi kwenu. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema8 Kwa sababu wanyama hao ni najisi msile nyama yao wala msiguse mizoga yao. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND8 Kwa sababu wanyama hao ni najisi msile nyama yao wala msiguse mizoga yao. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza8 Kwa sababu wanyama hao ni najisi msile nyama yao wala msiguse mizoga yao. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu8 Kamwe msile nyama yao wala kugusa mizoga yao; wao ni najisi kwenu. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu8 Kamwe msile nyama yao wala kugusa mizoga yao; wao ni najisi kwenu. Tazama suraBIBLIA KISWAHILI8 Msiile nyama yao, wala msiiguse mizoga yao; hao ni najisi kwenu. Tazama sura |