Walawi 11:2 - Swahili Revised Union Version2 Neneni na wana wa Israeli, mkiwaambia, Wanyama hawa ndio wanyama wenye uhai mtakaowala, katika hayawani wote walio juu ya nchi. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema2 “Wawaambie Waisraeli hivi: Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND2 “Wawaambie Waisraeli hivi: Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza2 “Wawaambie Waisraeli hivi: Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu2 “Waambieni Waisraeli: ‘Kati ya wanyama wote wanaoishi juu ya nchi, hawa ndio mtakaowala: Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu2 “Waambieni Waisraeli: ‘Kati ya wanyama wote waishio juu ya nchi, hawa ndio mtakaowala: Tazama suraBIBLIA KISWAHILI2 Neneni na wana wa Israeli, mkiwaambia, Wanyama hawa ndio wanyama wenye uhai mtakaowala, katika hayawani wote walio juu ya nchi. Tazama sura |