Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Walawi 11:1 - Swahili Revised Union Version

1 BWANA akanena na Musa na Haruni, na kuwaambia,

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

1 Mwenyezi-Mungu aliwaambia Mose na Aroni,

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

1 Mwenyezi-Mungu aliwaambia Mose na Aroni,

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

1 Mwenyezi-Mungu aliwaambia Mose na Aroni,

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

1 Mwenyezi Mungu akawaambia Musa na Haruni,

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

1 bwana akawaambia Musa na Haruni,

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

1 BWANA akanena na Musa na Haruni, na kuwaambia,

Tazama sura Nakili




Walawi 11:1
10 Marejeleo ya Msalaba  

Katika wanyama wote walio safi ujitwalie saba saba, wa kiume na wa kike; na katika wanyama wasio safi wawili wawili, wa kiume na wa kike.


Nuhu akamjengea BWANA madhabahu; akatwaa katika kila mnyama aliye safi, na katika kila ndege aliye safi, akavitoa sadaka za kuteketezwa juu ya madhabahu.


Kila kiendacho kilicho hai kitakuwa chakula chenu, kama nilivyowapa mboga za majani, kadhalika nawapa hivi vyote.


Naye Musa aliposikia hayo, akaridhika.


Neneni na wana wa Israeli, mkiwaambia, Wanyama hawa ndio wanyama wenye uhai mtakaowala, katika hayawani wote walio juu ya nchi.


Kisha BWANA akanena na Musa na Haruni, na kuwaambia,


Kwa ajili ya hayo mtapambanua kati ya mnyama aliye safi na mnyama aliye najisi, na kati ya ndege aliye safi na ndege aliye najisi; nanyi msizifanye nafsi zenu kuwa machukizo kwa njia ya mnyama, au kwa njia ya ndege, au kwa njia ya kitu chochote ambacho nchi imejaa nacho, nilichokitenga nanyi kuwa ni najisi.


Lakini Petro akasema, La, hasha! Bwana, kwa maana sijawahi kula kitu kilicho kichafu au najisi.


Wanyama mtakaokula ni hawa ng'ombe, na kondoo, na mbuzi,


Msichukuliwe na mafundisho ya namna nyingine nyingine, na ya kigeni; maana ni vizuri moyo ufanywe imara kwa neema, wala si kwa vyakula, ambavyo wao waliokwenda navyo hawakupata faida.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo