Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Walawi 11:12 - Swahili Revised Union Version

12 Kila asiye na mapezi wala magamba aliye ndani ya maji ni machukizo kwenu.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

12 Chochote kinachoishi majini ambacho hakina mapezi na magamba ni najisi kwenu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

12 Chochote kinachoishi majini ambacho hakina mapezi na magamba ni najisi kwenu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

12 Chochote kinachoishi majini ambacho hakina mapezi na magamba ni najisi kwenu.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

12 Chochote kinachoishi ndani ya maji ambacho hakina mapezi na magamba kitakuwa chukizo kwenu.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

12 Chochote kinachoishi ndani ya maji ambacho hakina mapezi na magamba kitakuwa chukizo kwenu.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

12 Kila asiye na mapezi wala magamba aliye ndani ya maji ni machukizo kwenu.

Tazama sura Nakili




Walawi 11:12
3 Marejeleo ya Msalaba  

Basi Haruni akaunyosha mkono wake juu ya maji yote ya Misri; na hao vyura wakakwea juu, wakaifunika nchi ya Misri.


watakuwa machukizo kwenu; msiile nyama yao, na mizoga yao itakuwa machukizo kwenu.


Kisha katika ndege hawa watakuwa ni machukizo kwenu; hawataliwa, ndio machukizo; tai, na furukombe, na kipungu;


Tufuate:

Matangazo


Matangazo