Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Walawi 11:11 - Swahili Revised Union Version

11 watakuwa machukizo kwenu; msiile nyama yao, na mizoga yao itakuwa machukizo kwenu.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

11 Viumbe hivyo vitakuwa daima najisi kwenu. Msile nyama yao, wala msiiguse mizoga yao kwani ni najisi.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

11 Viumbe hivyo vitakuwa daima najisi kwenu. Msile nyama yao, wala msiiguse mizoga yao kwani ni najisi.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

11 Viumbe hivyo vitakuwa daima najisi kwenu. Msile nyama yao, wala msiiguse mizoga yao kwani ni najisi.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

11 Nao watakuwa machukizo kwenu. Msile nyama yao, nayo mizoga yao itakuwa machukizo.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

11 Nao watakuwa machukizo kwenu. Msile nyama yao, nayo mizoga yao itakuwa machukizo.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

11 watakuwa machukizo kwenu; msiile nyama yao, na mizoga yao itakuwa machukizo kwenu.

Tazama sura Nakili




Walawi 11:11
8 Marejeleo ya Msalaba  

Katika wanyama wote walio safi ujitwalie saba saba, wa kiume na wa kike; na katika wanyama wasio safi wawili wawili, wa kiume na wa kike.


Tena katika ndege wa angani saba saba, wa kike na wa kiume; ili kuhifadhi hai mbegu juu ya uso wa nchi yote.


Na hao wote wasio na mapezi na magamba, ndani ya bahari, na ndani ya mito, katika hao waendao majini, na katika wote wenye uhai, waliomo majini, hao ni machukizo kwenu,


Kila asiye na mapezi wala magamba aliye ndani ya maji ni machukizo kwenu.


Kisha katika ndege hawa watakuwa ni machukizo kwenu; hawataliwa, ndio machukizo; tai, na furukombe, na kipungu;


Neneni na wana wa Israeli, mkiwaambia, Wanyama hawa ndio wanyama wenye uhai mtakaowala, katika hayawani wote walio juu ya nchi.


au kama mtu akigusa kitu kilicho najisi, iwe ni mzoga wa mnyama nyikani aliye najisi, au ni mzoga wa mnyama wa mfugo aliye najisi, au ni mzoga wa mdudu aliye najisi, bila kujua, akapata kuwa najisi, ndipo atakapochukua uovu wake;


Wanyama mtakaokula ni hawa ng'ombe, na kondoo, na mbuzi,


Tufuate:

Matangazo


Matangazo