Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Waefeso 5:16 - Swahili Revised Union Version

16 mkiukomboa wakati kwa maana nyakati hizi ni za uovu.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

16 Tumieni vizuri muda mlio nao maana siku hizi ni mbaya.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

16 Tumieni vizuri muda mlio nao maana siku hizi ni mbaya.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

16 Tumieni vizuri muda mlio nao maana siku hizi ni mbaya.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

16 mkiukomboa wakati, kwa sababu nyakati hizi ni za uovu.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

16 mkiukomboa wakati, kwa sababu nyakati hizi ni za uovu.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

16 mkiukomboa wakati kwa maana nyakati hizi ni za uovu.

Tazama sura Nakili




Waefeso 5:16
18 Marejeleo ya Msalaba  

Akasema, Tazama, kungali mchana bado, wala sio wakati wa kukusanya wanyama; wanywesheni kondoo, mwende kuwalisha.


Hawataaibika wakati wa ubaya, Na siku za njaa watashiba.


Uwagawie sehemu watu saba, hata wanane; Maana hujui baa gani litakalokuwa juu ya nchi.


Mkumbuke Muumba wako siku za ujana wako, Kabla hazijaja siku zilizo mbaya, Wala haijakaribia miaka utakaposema, Mimi sina furaha katika hiyo.


Lolote mkono wako utakalolipata kulifanya, ulifanye kwa nguvu zako; kwa kuwa hakuna kazi, wala shauri, wala maarifa, wala hekima, huko kuzimu uendako wewe.


Mfalme akajibu, akasema, Najua hakika ya kuwa mnataka kupata nafasi, kwa sababu mmeona ya kuwa lile neno lenyewe limeniondoka.


Kwa ajili ya hayo mwenye busara atanyamaza kimya wakati kama huo; kwa kuwa ni wakati mbaya.


Vile vile na yule mwenye mbili, yeye naye akachuma nyingine mbili faida.


Basi Yesu akawaambia, Nuru ingaliko pamoja nanyi muda kidogo. Nendeni maadamu mnayo nuru hiyo, giza lisije likawaweza; maana aendaye gizani hajui aendako.


Naam, tukiujua wakati, kwamba saa ya kuamka katika usingizi imekwisha kuwadia; kwa maana sasa wokovu wetu uko karibu nasi kuliko tulipoanza kuamini


Basi, naona hili kuwa jema, kwa ajili ya shida iliyopo, kwamba ni vema mtu akae kama alivyo.


ambaye alijitoa nafsi yake kwa ajili ya dhambi zetu, ili atuokoe na dunia hii mbovu iliyopo sasa, kama alivyopenda Mungu, Baba yetu.


Kwa hiyo kadiri tupatavyo nafasi na tuwatendee watu wote mema; na hasa jamaa ya waaminio.


Kwa sababu hiyo twaeni silaha zote za Mungu, mpate kuweza kushindana siku ya uovu, na mkiisha kuyatimiza yote, kusimama.


na kama viatu vilivyofungiwa miguuni mwenu muwe tayari kutangaza Injili ya amani;


Nendeni kwa hekima mbele yao walio nje, mkiukomboa wakati.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo