Waefeso 4:6 - Swahili Revised Union Version6 Mungu mmoja, naye ni Baba wa wote, aliye juu ya yote na katika yote na ndani ya yote. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema6 kuna Mungu mmoja na Baba wa wote, ambaye yuko juu ya wote, afanya kazi katika yote na yuko katika yote. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND6 kuna Mungu mmoja na Baba wa wote, ambaye yuko juu ya wote, afanya kazi katika yote na yuko katika yote. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza6 kuna Mungu mmoja na Baba wa wote, ambaye yuko juu ya wote, afanya kazi katika yote na yuko katika yote. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu6 Mungu mmoja ambaye ni Baba wa wote, aliye juu ya yote, katika yote na ndani ya yote. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu6 Mwenyezi Mungu mmoja ambaye ni Baba wa wote, aliye juu ya yote, katika yote na ndani ya yote. Tazama suraBIBLIA KISWAHILI6 Mungu mmoja, naye ni Baba wa wote, aliye juu ya yote na katika yote na ndani ya yote. Tazama sura |